Uchaguzi wa Askofu Mkuu wa Saba wa Kanisa Anglikana Tanzania
UnpublishedSinodi (Bunge) Maalumu ya Kanisa la Anglikana Tanzania, ilivyo kaa kwa mujibu wa Katiba ya Kanisa Anglikana Tanzania, leo tarehe 15 Februari, 2018 imemchagua Askofu Maimbo Mndolwa kuwa Askofu Mkuu wa Saba wa Kanisa Anglikana Tanzania akimfuatia Askofu Mkuu wa sasa anaye maliza muda wake Dr.Jacob Erasto Chimeledya.